Tuesday, April 17, 2012

 Library and Access point
 ICT training chamber and the training is proceeding .
Huu ndio muonekana wa kituo cha Maarifa centre ndani ya kituo chetu kwani tumetenganisha sehenu ya kuendeshea mafunzo ya kompyuta(ICT training) na Access point (sehemu ya huduma ya internet) na huu ndio muonekano wake.Mabadiliko haya yamefanywa kwa ushirikiano wa The Team from ALIN akiwemo Noah Lusaka( Project Manager),Kibe na Tonny bila kumsahau Msimamizi wa kituo (FIELD OFFICER) .

No comments:

Post a Comment