Tuesday, April 17, 2012

Moja kati ya huduma zitolewazo kwa jamii bila gharama yoyote ni pamoja na huduma ya Maktaba hii imetokana na mahitaji ya wakazi wa Shinyanga walioko karibu na Kituo cha Maarifa Centre na kituo hiki kimesaidia wanafunzi wa chuo cha afya (HEALTH COLLAGE) kilichopo Kolandoto Shinyanga nje kidogo umbali wa kilometa 15 kutoka Kituo cha Maarifa Centre.
Henri Thomas (21)ambaye ni mwanafunzi wa chuo hicho ametumia kituo chetu hasa kujisomea vitabu tulivyonavyo ambavyo tuho navyo na amefaulu katika somo ambalo alikuwa linamsumbua (ANATOMY) ambalo alikuwa akipata alama 56% hadi 85%.

No comments:

Post a Comment