Tuesday, April 17, 2012

Willison Malongo  (Aliyevaa Kofia ):mafunzo ya kompyuta ni mazuri sana na yamenisaidia katika kuboresha kazi yangu na sasa hivi nafundisha wanafunzi wa chuo cha Uwalimu SHYCOM kozi ya Kompyuta hivyo basi sio tu nimejifunza kutumia kompyuta badala yake nimepata kazi ya kufundisha kwani pamoja  na hali yangu ya kutumia mkono mmoja sikukata tamaa na ninaishi na kufanya kazi kama mtu mwingine aliye na viungo vyake vyote.Nashukuru sana Kituo cha Shinyanga Maarifa Centre kwa kutupatia elimu  hii ya kompyuta tena bila gharama yoyote .Bila kuwasahau ALIN TEAM iliyokuja wanaoendelea kusaidia vifaa vya kufundishia zikiwemo Computer(IVENNO).

No comments:

Post a Comment