Tuesday, April 17, 2012

Hakuna kitu kinachoshindikana katika ulimwengu wa kompyuta kwani hata mzee Willison Malongo(56) huyu mwenye ulemavu wa mkono amejifunza kompyuta na  anaweza kutumia kompyuta tena kuliko mtu asiye na ulemavu.na amepata kazi ya kufundisha kompyuta katika chuo cha walimu shinyanga(SHYCOM).

No comments:

Post a Comment