Friday, August 24, 2012

10 CAL ARTISAN(MAFUNDI WASHI) WAMEPATIWA MAFUNZO YA KUJENGA NA KUTUMIA MAJIKO SANIFU KUTOKA SHINYANGA MAARIFA CETRE KWA USHIRIKIANO NA KITUO CHA NISHATI MBADALA(TaTEDO) .MAFUNZO YALIFANYAKIA KATIKA KIJIJI CHA BULIMA.
Mafunzo haya yanalenga wanachama wa ALIN na mafundi washi ili kuondokana au kupunguza uharibifu wa mazingira hasa ukataji wa miti kwa ajili ya vyanzo vya nishati
 kwa matumizi ya mkulima kijijini anatumia  mikokoteni mitatu inayovutwa na ng'ombe kwa  hali ambayo ikiendelea kutakuwa na uharibifu  mkubwa wa misitu na kusababisha kuwepo kwa mabadiliko ya tabia nchi

No comments:

Post a Comment