Friday, August 24, 2012

SENSA YA WATU NA MAKAZI INATARAJIWA KUANZA TAREHE 26.AUGUST.2012 HADI 2.SEPTEMBA 2012

Tanzania inatarajia kuhesabu watu na makazi yao ili kupata takwimu za wananchi wote walioko nchini (TANZANIA) ili kupanga maendeleo yanayo endana na idadi ya watu walioko nchini .
Hivyo basi watu wote waliokoTanzania na wasio raia wa Tanzania watahesabiwa .
Sensa kwa maendeleo ya Taifa wananchi wote mnaombwa kutoa ushirikiano wenu kwa makarani wa sensa.

No comments:

Post a Comment