Friday, February 7, 2014

TESTIMONIES

Miss Nyangi Magoko
Nashukuru sana kituo cha Maarifa Centre kwa kunipatia mafunzo ya kompyuta kwani baada ya kuhitimu mafunzo hayo kwa ngazi ya cheti(Certificate)sasa nimejiunga na chuo cha ICT kilichopo mwanza na ninafanya Diploma ya ICT hivyo nawaomba vijana wenzangu wakitumie kituo hiki cha Maarifa Centre kwani kinapunguza idadi ya vijana waishio mitaani bila shughuli yoyote na hivyo kuboresha maisha ya jamii yote kwa ujumla.
Maarifa Centre ooooooyeeeeeeeeeeeeee!!!!

No comments:

Post a Comment