Shinyanga maarifa centre ni kituo cha kupashana habari kilichopo shinyanga Mjini. Kituo hiki kilianzishwa mwaka 2007 chini ya usimamizi wa shirika lisilo la kiserikali linaloitwa ALIN lenye makao makuu yake nchini Kenya kwa ushirikiano na kituo cha misitu shinyanga NAFRAC
Monday, March 19, 2012
Saturday, March 10, 2012
The doctors strike in Tanzania is proceeding its four day since the doctor announcing for strike if the government will refuse their request of the minister of health Dr Mponda and deput minister Dr Nkya to move from ministry for futher investigation of finding solution for the first doctors strike for the government hospitals and the pesernt are now moving from the government hospital to private hospital seeking for treatment .Now my question is the government of Tanzania does not see this and take as disaster to the country?
Thursday, January 5, 2012
SHINYANGA NA KIWANGO CHA ELIMU TUNACHOKITAKA(SHINYANGA WITH EDUCATION LEVEL WE WANT
Baada ya matokeo mabaya ya mitihani kwa wahitimu wa shule za msingi na sekondari kituo cha kupashana habari SHINYANGA MAARIFA CENTRE kinatoa huduma ya maktaba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa masomo yote bila gharama yoyote hivyo wanafunzi wote mnakaribishwa kwa kukitumia kituo cha maarifa centre tutaongeza idadi ya ufaulu wa wanafunzi mashuleni ukizingatia changamoto nyingi zinazozikabili shule za kata maarufu kama YEBOYEBO .pia kituo cha maarifa centre kinampango wa kupanua wigo katika kuongeza maarifa kwa jamii kwa kuwapatia mafunzo ya kompyuta bila gharama yoyote ile hivyo watu wote mnakaribishwa.
Wednesday, April 13, 2011
MATUMIZI YA MAJIKO MBADALA
Matumizi ya majiko mbadala ni mradi ambao unasimamiwa na taasisi inayohusika na mpango wa kupunguza gesi ukaa TaTEDO wakishirikiana na taasisi ya misitu mkoani shinyanga Natural Resources Management and Agroforestry Centre (NAFRAC) iliyoko mkoani shinyanga nchini Tanzania ,ambapo jumla ya vijiji 25 vimepatiwa majiko hayo yanayotumia mkaa kidogo na kuni chache hivyo mkuu wa kituo hicho ndg Pastory Mwesiga anatarajia kukutana na wana vijiji hao ili kujua kama majiko wanayowapa kama yanafanya kazi kama walivyo tarajia ,lengo ni kupunguza mabadiliko ya tabia nchi mkoani shinyanga .
Monday, May 17, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)
