Thursday, January 5, 2012

SHINYANGA NA KIWANGO CHA ELIMU TUNACHOKITAKA(SHINYANGA WITH EDUCATION LEVEL WE WANT

Baada ya matokeo mabaya ya mitihani kwa wahitimu wa shule za msingi na sekondari kituo cha kupashana habari SHINYANGA MAARIFA CENTRE kinatoa huduma ya maktaba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa masomo yote bila gharama yoyote hivyo wanafunzi wote mnakaribishwa kwa kukitumia kituo cha maarifa centre tutaongeza idadi ya ufaulu wa wanafunzi mashuleni ukizingatia changamoto nyingi zinazozikabili shule za kata maarufu kama YEBOYEBO .pia kituo cha maarifa centre kinampango wa kupanua wigo katika kuongeza maarifa kwa jamii kwa kuwapatia mafunzo ya kompyuta bila gharama yoyote ile hivyo watu wote mnakaribishwa.