Wednesday, October 15, 2014

NAMNA KILIMO CHA TUMBAKU KINAVYOATHIRI MISITU SHINYANGA




KILIMO CHA TUMBAKU KINAVYOSABABISHA UKATAJI WA MITI OVYO.
Tumbaku  ni zao la kibishara linalolimwa na kuvunwa ili kutengeneza sigara,kwa mkoa shinyanga zao hili linalimwa kwa wingi wilayani kahama mkoa wa shinyanga.Ambalo pia nizao linaloongoza kwa mapato wilayani kahama ikifatiwa na madini(Dhahabu) yapatikanayo wilayani hapo.
Zao hili baada ya kuvunwa majani yake hukaushwa kwa kutumia majiko yenye kutumia kuni nyingi wakati wa kukausha tumbaku kabla ya kupaki na kuuza kwenye makampuni yanayonunua tumbaku kama ATTT, ALIANCE nk.
Namna tumbaku inavyochangia uharibifu wa misitu:
Baada ya kuvunwa kwa zao hilo la tumbaku wakulima wote hurudisha fikra zao katika msistu wa ushetu ubagwe ulioko wilaya ya ushetu( kahama)mkoa washinyanga ilikupata kuni kwa ajili ya kukaushia tumbaku na badala ya kuvuna kuni wao hutumia fursa hiyo kukata miti mikubwa kwaajili ya kukausha tumbaku pamoja na kuchana mbao kwa ajili ya biashara kinyume na sharia

            

Hii nimitiilyokatwa na kufanywa mbao

Huu ni msitu wa Ushetu Ubagwe ulioko katika wilaya ya Ushetu (Kahama) na hiyondiyo baadhi ya miti inayoendelea kuvunwa na wakulima wa tumbaku ilikupata kuni za kukaushia tumbaku .
Hili ni shimo linalotumika kuchania mbao yaliyochibwa msituni






Thursday, August 28, 2014

KILIMO CHA UYOGA HAKIHITAJI MAJI MENGI

Uyoga ni mazao yanayozalishwa kutokana na mimea iliyovunda .Mmea huu hauna uwezo wa kujitengenezea chakula chake mwenyewe kama ilivyo kwa mimea mingine kama vile ngano na mchele.
Upatikanaji wa uyoga huhitaji yafuatayo:
  • Maandalizi ya mbolea
  • upatikanaji wa mbegu
  • Mifuko ya kupandia
Aina za Uyoga
Uyoga upo wa aina mbalimbali ambapo kuna uyoga kwa ajili ya chakula na uyoga usioliwa baadhi ya uyoga unaopatikana Tanzania ni pamoja na
  • Oyster(Plerotus)
  • Button(Agricus)
  • Shitake(Lentinula edodes)
  • Chinese Mushroom(Ganoderma)
Faida ya kuotesha uyoga pamoja na mazao mengine ya biashara
  1. Haina Gharama ya eneo
  2. Hukua haraka (Muda wa kuotesha hadi kuvuna ni siku 28-35tu)
  3. Matumizi ya taka zinatokana na kilimo kwa ajili ya uzalishaji kama miwa,ndizi,majani,nyuzi,mahindi,maharagwe,na majani ya ngano.

Friday, February 7, 2014

UFUGAJI WA SAMAKI KWENYE BWAWA

Ufugaji wa samaki kama ilivyoshughuli nyingine yoyote ya kiuchumi inahitaji usimamizi  mzuri ili uweze kuwa na faida,mbali na hivyo mfugaji wa samaki anatakiwa kuzingatia vigezo vingi kabla hajaanza ufugaji.
Maji
Upatikanaji wa maji na ubora wake ni kigezo muhimu  katika ufugaji wa samaki.Mtiririko wa maji ni njia rahisi kwa mfugaji,Maji machafu hayatakiwi kwa ufugaji wa samaki wafugaji ni lazima wasaidiwe na maafisa kilimo katika eneo lao kama maji yanayopatikana yana ubora kwa ajili ya ufugaji wa samaki
Bwawa(Ponds)
Bwawa la samaki linahitaji nafasi kubwa ya ardhi yenye mwinuko pamoja na eneo la samaki kukimbilia
Hii ni njai rahisi ya ufugaji endapo ardhi na maji havina gharama kubwa .
Utunzaji wa Bwawa
Inashauriwa kufanyia bwawa usafi mara kwa mara hasa kwa kuondoa majani ili kuepusha wadudu kufanya makazi na hatimaye wakawadhuru samaki.
Pia ukiacha mimea bwawani itatumia virutubisho kwa kiasi kikubwa na kuondoa hewa ya oxijeni.
Ulishaji
Wafujaji walio wengi  wamekuwa hawazingatii kanuni za ulishashaji wa samaki .Kwa kawaida inatakiwa kuwalisha mara mbili hadi mara tatu kwa siku.
Aina ya Chakula
Samaki wanaweza kulishwa kwa kutumia pumba ya mahindi ,mashudu ya pamba na alizeti,soya,mabaki ya dagaa.Haishauriwi kulisha chakula kilichoko kwenye mfumo wa vumbi bali kiwe mabonge madogo madogo kwa wastani wa tambi.
Magonjwa
Kwa kawaida samaki hawana magonjwa mengi sana yanayowashambulia ila kuna baadhi ya yaliyozoeleka kama vile magonjwa ya ukungu(Fangasi)magonjwa yatokanayo na virusi pamoja na minyoo.
Samaki wanaposhambuliwa na fangasi huonekana kwa macho kwa kuwa na madoa madoa .
Samaki aina ya kambale hushambuliwa zaidi kuliko perege pia unaweza kutambua kuwa samaki ni mgonjwa kwakuwa huzubaasehemu moja kwa muda mrefu
Magonjwa ya samaki pia yanaweza kutokana na mrundikano wa kwenye bwawa .Hivyo ni muhimu kuwapunguza kila wanapoongezeka.
Tiba
Tibaya iliyozoeleka kwa samaki ni kwa kuweka chumvi kwenye maji kisha kuwatumbukiza samaki unaowaona kuwa ni wagonjwa kisha kuwatoa na kuwarudisha bwawani.
Upatikanaji
Unaweza kupata vifaranga wa samaki kutoka katika kituo cha kuzalisha na kufuga samaki kingolwira morogoro .bei ya kifaranga cha pegere ni shilingi 50Tsh  na kambale ni shilingi 150Tsh

TESTIMONIES

Miss Nyangi Magoko
Nashukuru sana kituo cha Maarifa Centre kwa kunipatia mafunzo ya kompyuta kwani baada ya kuhitimu mafunzo hayo kwa ngazi ya cheti(Certificate)sasa nimejiunga na chuo cha ICT kilichopo mwanza na ninafanya Diploma ya ICT hivyo nawaomba vijana wenzangu wakitumie kituo hiki cha Maarifa Centre kwani kinapunguza idadi ya vijana waishio mitaani bila shughuli yoyote na hivyo kuboresha maisha ya jamii yote kwa ujumla.
Maarifa Centre ooooooyeeeeeeeeeeeeee!!!!

Tuesday, October 15, 2013

Shinyanga Maarifa centre Sub branch publicised on Dira Newspaper

On 7th-13rd of October 2013 were visited at Kinaga Maarifa centre to see the progress of Centre located at Kahama district 12 kilometre away from kahama town and to be published on Dira Newspaper but still we have a challenge on power so that we can run the equipment we have at centre computers and other machine .
That is newspaper logo
CKF of Kinaga Maarifa centre arranging the machine at Kinaga Maarifa.

FARMERS EXCHANGE VISIT

Shinyanga Maarifa centre were visited the farmer of Songambele Maarifa located at Kongwa district in Dodoma region ,Ten members were visit at Songambele (Advisory committee and Focal group) and the aim was to share experiance of what the farmers from two sides are doing (Shinyanga and Songambele) and capacity building for the Songambele Advisory committee .
During our tour we learn there is huge opportunities from songambele community in Honey processing and Sunflower cultivation which are popular produced at Songambele and Dodoma in general as Region.
The team from shinyanga were encouraged the farmer of Songambele to try on  Pad production by using water harvest like what Shinyanga Farmers doing and the team was lifted the pad seed at Maarifa Centre  to ensure the Field officer of Songambele prepare a demonstration plot for pad production  .
Songambele community were very interested on pad production which was not applicable ever since.
Mr Emmanuel Magoso showing the pad seed to songambele community during meeting
Songambele community members at Somgambele Maarifa centre during meeting.


Monday, September 9, 2013

Testimonies

Esther Makono:
Nashukuru sana kituo cha maarifa centre kwa mafunzo waliyotupatia ya computer bila gharama yoyote ambapo binafsi yameniwezesha kujua namna ya kuitumia kompyuta na kuniwezesa kutembelea tovuti mbalimbali hasa  zihusuzo mambo ya muungu kupitia kanisa letu la Mashahidi wa Yehova(Yehova Witness) mafunzo haya ni gaharama kubwa kuyapata kupitia vyuo vyetu vinavyotoa mafunzo haya ya kompyuta jambo ambalo lilinifanya nishindwe kumudu gharama hizo kutokana na kuwa na watoto wanaosoma vyuoni ambao pia wanahitaji pesa ili waweze kuendelea na masomo yao ,lakini kupitia kituo cha maarifa ambacho kinatoa huduma zake bure nimeweza kupata mafunzo hayo katika program zifuatazo ambazo ni microsoft word,Excel,Power Point pamoja na Internet nashukuru sana.

Wednesday, August 14, 2013

MALARIA

RECOGNITION AND SUPPORT FOR TRADITIONAL ANTI-MALARIA.

Malaria is one of the oldest recorded and dreaded disseases and its one of biggest humanity killers in African Country and world in general.
Malaria remains one of the major public health in developing countries with children under five years ,Pregnant women and HIV/AIDS infected people being the most vulnerable.According to the world health organization (WHO)half of the world`s population is at risk of malaria and estimated 243million cases lead to nearly 863,000 deaths in 2008.

HERBAL MEDICINES:
Communities in tropical regions have traditionally used local flora as means of preventing and treating malaria where by 1200 plant species are used throughout the world to treat malaria and they are used by up to 75% of malaria patient like ALVERA SPECIES .

Monday, July 15, 2013

KNOWLEDGE CREATION



ALIN CREATE AWERENESS TO THE ILLITERACE PEOPLE IN BULIMA VILLAGE THROUGH VIDEO LIBRARY.
By:Innocent Minja
Arid Land Information Network (ALIN)through  Maarifa Centre together with the services offered at shinyanga maarifa centre include Library services , we are providing the secondary school books, Primary books,Agroforestry Agriculture ,Nursing, Laboratory  books and Video Library(DVD) and all services are offering free of charge to everyone who need the services without discrimination .
Library service.
Shinyanga Maarifa centre on library service is categorized into two parts include Books library (written document) and Video library (Video document) all these services offered at Maarifa Centre.
The corebussiness of ALIN(Farmers) according to the slogan of ALIN THREE (Enabling Access, Creating Knowledge and Empowering people)  makes  Shinyanga maarifa centre to empower them on the method of eliminate or reduce deforestation and land degradation as well as Climate change adaptation on using traditional energy through Improved Cook stove where by the group of Fifteen people were participated on viewed the Video of it at Maarifa Centre before going to the field for the further training whereby twenty three(23) farmers include local artisan were trained by using video clip which we have at Maarifa and seven(7) local artisan were qualified and are already build two stoves at Bulima includes Paul chalo,Jackson Lulinda,Mabanha mayega,Nyalulu Duda ,Tanaely Buganga ,Luhende John and Clement Tarange.Apart from Local artisan training we also have the student who learn on health and birth at Maarifa centre by using the books (material)we have at Maarifa centre include the HIV/AIDS protection to the pregnant women which are very interactive for the participant we are training over forty five(45) participant include Men and Women around Maarifa Centre and for those who live away from Maarifa Centre like Bulima and
 Kahama we are conducted the training through demonstration with collaboration of UMAT and AGAPE. 
Shinyanga Maarifa centre  through Library (video library)improved the health life for the farmers at Bulima  especially the women by using the strategic plant of reducing the number of Children for each family (Family plan) according to the life cost(Hard life standard) as we know you can found the village women carried a baby together with a load of fire wood on her head coming back to farmer for cultivation and most of the Men are non-cultivating people in the society especially on food production. They are pretending that only women are responsible for child care include food. After getting training and build two stoves for demonstration the family where by the stoves were placed (planted)they are happy to have the tool which may help them to use a little number of firewood which may also help them to reduce the distance of seeking the firewood compare with what they did now. 
Through video training (demonstration) people see what they suppose to visually and train them theoretically the same time which led them to appreciate the services offered by Maarifa Centre include
Mr. Marco Lucas: Thanks ALIN through Maarifa Centre (Shinyanga) for the training you gives us for Health and Birth together with Improved stoves training for our local Artisan through Video viewing (demonstration) as Maarifa centre member I real appreciate for the effort made by our field Officer Mr Innocent Minja not only he was creating Knowledge but also creation of employment to our local artisan in village.  

Wednesday, June 12, 2013






Chausiku Dotto; The Maarifa centre has really changed my life and I am very happy. For a long time I was at home doing nothing until one day when a friend of mine told me about the Shinyanga Maarifa centre. I went there filled an application form and was enrolled in computer training. I learnt word, excel, PowerPoint internet and e-mailing packages. I used the Maarifa certificate to search for a job opportunity where I secured one as manager of a stationary shop. My main duties include, typing, photocopying, binding, designing cards, lamination and binding among many others. Thanks to Maarifa
centre, my life has changed completely, I am a better person now!




Gaudancia Jackson; I was told about the Maarifa centre by a friend who saw the advertisement on free computer training, I never knew anything about computers, even knowing there is something called a mouse, I was trained on 5 computer packages and I am very grateful, I got an employment opportunity just after completing computer classes .I now run a stationary and mobile phone (Vodacom) shop. I am very happy because I can now support my family who are struggling to make ends meet. I recommend other people to go to the Maarifa centre and use the opportunity.


Participation at Graduation ceremonies in Kinaga and Shinyanga Maarifa centres

Kinaga Graduation ceremony: The ALIN team participated at two graduation ceremonies held at Kinaga and Shinyanga. This was meant to strengthen the FO’s work and to ensure that communities take the maarifa centre initiatives on ICT trainings more seriously. At Kinaga, the graduation ceremony was overseen by all stakeholders and the Kinaga ward councilor Mrs. Mary Manyambo and the school headmaster Mr. ……………. During a brief speech to the participants, Mr. Noah advised the graduates to exercise use of their new skills through voluntary work to support schools, hospitals and farmers to digitize their activities. He further encouraged them to take lead in using emerging e-opportunities to initiate their own enterprises.

The participants at Kinaga were trained by ALIN FO with support of Mwalimu Victor Gilbert. A total of 52 out of which 33Male and  19 were women were trained and graduated. According to MS Yunis Paulo Edward she thanked ALIN for the dedication in offering the training. She’s now competent and got a job at a stationery shop because her ICT competence. More ICT testimonies are captured in the next section.

Shinyanga Graduation ceremony: The Shinyanga graduation ceremony was witnessed by NAFRAC representative as host institution with some of the advisory committee members. The ceremony was held at the VIP parlor within Mazingira centre. To crown the excited trainees who had successfully completed the training, Mr. Omar representing NAFRAC and Esther Lungahi representing ALIN officially awarded the certificates. More than 104 trainees received their certificates. Majority of the graduates had secured jobs in stationary shops and as Mpesa agents at Shinyanga hence praised the ICT training initiative by ALIN as pioneering in their lives!

The graduation ceremony was graced by various speakers ranging from the Shinyanga Field Officer Mr. Innocent Minja, Advisory Chairman also representing NAFRAC management Mr. Omar, Esther Lungahi of ALIN Nairobi. Mr. Noah Lusaka while delivering a key note address explained the need for undertaking exams from a certified IT institution because the one given by ALIN is for participation. Additionally he encouraged the graduates to spread the benefits further by encouraging many people to come and use the Maarifa centre services. ‘The use of library and internet resources to initiate own projects or enterprises is quite low!’ said Mr. Lusaka. He thanked NAFRAC management on the continuous support to the Maarifa centre.

Mr Wilison Malongo one of ICT participant holding his ICT Certificate at Shinyanga Maarifa.


Mr Noah Lusaka akimkabidhi cheti Ms